Unyanyasaji ni nini?
Abednego F.
limechapishwa
5 months, 2 weeks ago
Naomba mtu mwenye tafsiri sahihi ya unyanyasaji
Maximilian M.
limejibiwa
Masaa 12 yaliyopita
Ni jumla ya matendo yote yanayoweza kumuathiri Mtoto Kimwili, Kiakili, Kihisia na Kijamii. Mfano Kumpiga, Kumnyima chakula, Kumchoma moto mikono n.k
Martin Q.
limejibiwa
1 month, 2 weeks ago
kumtenda mtu kinyume na anavyostahili
Hakika J.
limejibiwa
5 months ago
Ni kumtendea mtu mwingine matendo yanayomsababishia maumivu kimwili au kihisia.
Lucas N.
limejibiwa
5 months ago
Ni vitendo na mitazamo yote ya udhalilishaji na uporaji wa haki na utu wa mtu
Batimayo A.
limejibiwa
5 months ago
Ni ukatili wa aina yote na kuondoa haki ya mtu