Unyanyasaji ni nini?
Abednego F.
limechapishwa
9 months, 1 week ago
Naomba mtu mwenye tafsiri sahihi ya unyanyasaji
Gabriel C.
limejibiwa
1 month, 2 weeks ago
Ni vitendo vyooote vinavyofanywa ili kuminya haki ya Mtoto, mf. Kumnyima: chakula, elimu, haki ya kujieleza, kumpiga, haki ya kucheza, n.k
Oscar E.
limejibiwa
1 month, 3 weeks ago
Ni vitengo vinavyofanywa kwa mtoto na kuwa na matokeo hasi ya makuzi ya kimwili , kiakili, kisaikolojia na kijamii.
Maximillian M.
limejibiwa
3 months, 3 weeks ago
Ni jumla ya matendo yote yanayoweza kumuathiri Mtoto Kimwili, Kiakili, Kihisia na Kijamii. Mfano Kumpiga, Kumnyima chakula, Kumchoma moto mikono n.k
Martin Q.
limejibiwa
5 months, 1 week ago
kumtenda mtu kinyume na anavyostahili
Hakika J.
limejibiwa
8 months, 3 weeks ago
Ni kumtendea mtu mwingine matendo yanayomsababishia maumivu kimwili au kihisia.
Lucas N.
limejibiwa
8 months, 3 weeks ago
Ni vitendo na mitazamo yote ya udhalilishaji na uporaji wa haki na utu wa mtu
Batimayo A.
limejibiwa
8 months, 4 weeks ago
Ni ukatili wa aina yote na kuondoa haki ya mtu