Unyanyasaji ni nini?
Abednego F.
limechapishwa
1 year, 7 months ago
Naomba mtu mwenye tafsiri sahihi ya unyanyasaji
Frida L.
limejibiwa
Masaa 16 yaliyopita
Ni ile hali ya kumfanyia mtoto vitendo vya kumkosesha amani na furaha katika maisha yake mfano kipigo kupitiliza,ubakaji,ulawiti,kumpa kazi isiyolingana na umri wake nk
Edger G.
limejibiwa
2 weeks, 6 days ago
Ni jumla ya mambo yote ambayo kama ukimfanyia mtoto yanatweza utu na ubinadamu wa mtoto.
John N.
limejibiwa
1 month, 2 weeks ago
Ni hali ya kumfanyia vitendo vinavyoweza kudhuru afya yake kama Kimwili,Kiakili,Kihisia na kijamii
John N.
limejibiwa
1 month, 2 weeks ago
Ni hali ya kumfanyia vitendo vinavyoweza kumuathili mtoto kimwili,kihisia na kiakili
Pauline K.
limejibiwa
1 month, 3 weeks ago
Ni haki na ni jukumu la kila mtu kumlinda na kumtunza mtoto na kijana.
Joseph F.
limejibiwa
2 months, 1 week ago
Ni hari ya kumnyima mtoto haki ya uhuru wa kuishi au kujiongoza kutokana na jinsia yake.
JOHN A.
limejibiwa
2 months, 1 week ago
Ulinzi wa mtoto ni kumlinda mtoto dhidi ya unyanyasaji wake katika nyanja mbali mbali kama vile unyanyasaji wa kimwili, kingono, kiimani,.kiutamaduni na mengineyo
Gabriel C.
limejibiwa
11 months, 1 week ago
Ni vitendo vyooote vinavyofanywa ili kuminya haki ya Mtoto, mf. Kumnyima: chakula, elimu, haki ya kujieleza, kumpiga, haki ya kucheza, n.k
Oscar E.
limejibiwa
11 months, 2 weeks ago
Ni vitengo vinavyofanywa kwa mtoto na kuwa na matokeo hasi ya makuzi ya kimwili , kiakili, kisaikolojia na kijamii.
Maximillian M.
limejibiwa
1 year, 1 month ago
Ni jumla ya matendo yote yanayoweza kumuathiri Mtoto Kimwili, Kiakili, Kihisia na Kijamii. Mfano Kumpiga, Kumnyima chakula, Kumchoma moto mikono n.k