Unyanyasaji ni nini?
Abednego F.
posted
1 year, 5 months ago
Naomba mtu mwenye tafsiri sahihi ya unyanyasaji
Paulina K.
replied
4 days, 22 hours ago
Ni haki na ni jukumu la kila mtu kumlinda na kumtunza mtoto na kijana.
Joseph F.
replied
2 weeks, 4 days ago
Ni hari ya kumnyima mtoto haki ya uhuru wa kuishi au kujiongoza kutokana na jinsia yake.
JOHN A.
replied
2 weeks, 5 days ago
Ulinzi wa mtoto ni kumlinda mtoto dhidi ya unyanyasaji wake katika nyanja mbali mbali kama vile unyanyasaji wa kimwili, kingono, kiimani,.kiutamaduni na mengineyo
Gabriel C.
replied
9 months, 2 weeks ago
Ni vitendo vyooote vinavyofanywa ili kuminya haki ya Mtoto, mf. Kumnyima: chakula, elimu, haki ya kujieleza, kumpiga, haki ya kucheza, n.k
Oscar E.
replied
10 months ago
Ni vitengo vinavyofanywa kwa mtoto na kuwa na matokeo hasi ya makuzi ya kimwili , kiakili, kisaikolojia na kijamii.
Maximillian M.
replied
11 months, 3 weeks ago
Ni jumla ya matendo yote yanayoweza kumuathiri Mtoto Kimwili, Kiakili, Kihisia na Kijamii. Mfano Kumpiga, Kumnyima chakula, Kumchoma moto mikono n.k
Martin Q.
replied
1 year, 1 month ago
kumtenda mtu kinyume na anavyostahili
Hakika J.
replied
1 year, 4 months ago
Ni kumtendea mtu mwingine matendo yanayomsababishia maumivu kimwili au kihisia.
Lucas N.
replied
1 year, 4 months ago
Ni vitendo na mitazamo yote ya udhalilishaji na uporaji wa haki na utu wa mtu
Batimayo A.
replied
1 year, 5 months ago
Ni ukatili wa aina yote na kuondoa haki ya mtu