Main Logo
  • Login/Join
    • Language
  • Discussions
  • Courses
  • Library

Select A Language Preference

  • English
  • Kiswahili
  • Home
  • Library
  • Courses
  • Discussions
  • Language
  • Login/Join
Search
  • < previous page
  • 1
  • 2
  • next page >
  • Connect >
  • Jukwaa >
  • nini maana ya ulinzi wa mtoto >
  • Unyanyasaji ni nini?
AF

Unyanyasaji ni nini?

Abednego F. posted 1 year, 7 months ago
Naomba mtu mwenye tafsiri sahihi ya unyanyasaji
permalink
FL
Frida L. replied 16 hours ago
Ni ile hali ya kumfanyia mtoto vitendo vya kumkosesha amani na furaha katika maisha yake mfano kipigo kupitiliza,ubakaji,ulawiti,kumpa kazi isiyolingana na umri wake nk
permalink
Edger G. avatar
Edger G. replied 2 weeks, 6 days ago
Ni jumla ya mambo yote ambayo kama ukimfanyia mtoto yanatweza utu na ubinadamu wa mtoto.
permalink - 1 like
JN
John N. replied 1 month, 2 weeks ago
Ni hali ya kumfanyia vitendo vinavyoweza kudhuru afya yake kama Kimwili,Kiakili,Kihisia na kijamii
permalink
JN
John N. replied 1 month, 2 weeks ago
Ni hali ya kumfanyia vitendo vinavyoweza kumuathili mtoto kimwili,kihisia na kiakili
permalink
PK
Pauline K. replied 1 month, 3 weeks ago
Ni haki na ni jukumu la kila mtu kumlinda na kumtunza mtoto na kijana.
permalink
Joseph F. avatar
Joseph F. replied 2 months, 1 week ago
Ni hari ya kumnyima mtoto haki ya uhuru wa kuishi au kujiongoza kutokana na jinsia yake.
permalink
JOHN A. avatar
JOHN A. replied 2 months, 1 week ago
Ulinzi wa mtoto ni kumlinda mtoto dhidi ya unyanyasaji wake katika nyanja mbali mbali kama vile unyanyasaji wa kimwili, kingono, kiimani,.kiutamaduni na mengineyo
permalink - 1 like
Gabriel C. avatar
Gabriel C. replied 11 months, 1 week ago
Ni vitendo vyooote vinavyofanywa ili kuminya haki ya Mtoto, mf. Kumnyima: chakula, elimu, haki ya kujieleza, kumpiga, haki ya kucheza, n.k
permalink - 1 like
OE
Oscar E. replied 11 months, 2 weeks ago
Ni vitengo vinavyofanywa kwa mtoto na kuwa na matokeo hasi ya makuzi ya kimwili , kiakili, kisaikolojia na kijamii.
permalink
Maximillian M. avatar
Maximillian M. replied 1 year, 1 month ago
Ni jumla ya matendo yote yanayoweza kumuathiri Mtoto Kimwili, Kiakili, Kihisia na Kijamii. Mfano Kumpiga, Kumnyima chakula, Kumchoma moto mikono n.k
permalink - 1 like
  • < previous page
  • 1
  • 2
  • next page >
Register or login to post a reply.
  • About
  • Privacy Policy
  • Contact Us
  • Terms of Use

ForChildren.com is presented by Compassion International, a registered 501(c)3 non profit organization. All resources, courses, and discussions are intended for educational use only, not for profit.