Unyanyasaji ni nini?
Abednego F.
posted
1 year, 3 months ago
Naomba mtu mwenye tafsiri sahihi ya unyanyasaji
Gabriel C.
replied
7 months ago
Ni vitendo vyooote vinavyofanywa ili kuminya haki ya Mtoto, mf. Kumnyima: chakula, elimu, haki ya kujieleza, kumpiga, haki ya kucheza, n.k
Oscar E.
replied
7 months, 2 weeks ago
Ni vitengo vinavyofanywa kwa mtoto na kuwa na matokeo hasi ya makuzi ya kimwili , kiakili, kisaikolojia na kijamii.
Maximillian M.
replied
9 months, 1 week ago
Ni jumla ya matendo yote yanayoweza kumuathiri Mtoto Kimwili, Kiakili, Kihisia na Kijamii. Mfano Kumpiga, Kumnyima chakula, Kumchoma moto mikono n.k
Martin Q.
replied
11 months ago
kumtenda mtu kinyume na anavyostahili
Hakika J.
replied
1 year, 2 months ago
Ni kumtendea mtu mwingine matendo yanayomsababishia maumivu kimwili au kihisia.
Lucas N.
replied
1 year, 2 months ago
Ni vitendo na mitazamo yote ya udhalilishaji na uporaji wa haki na utu wa mtu
Batimayo A.
replied
1 year, 2 months ago
Ni ukatili wa aina yote na kuondoa haki ya mtu