Unyanyasaji ni nini?
Abednego F.
posted
5 months, 2 weeks ago
Naomba mtu mwenye tafsiri sahihi ya unyanyasaji
Maximilian M.
replied
5 days, 18 hours ago
Ni jumla ya matendo yote yanayoweza kumuathiri Mtoto Kimwili, Kiakili, Kihisia na Kijamii. Mfano Kumpiga, Kumnyima chakula, Kumchoma moto mikono n.k
Martin Q.
replied
1 month, 3 weeks ago
kumtenda mtu kinyume na anavyostahili
Hakika J.
replied
5 months ago
Ni kumtendea mtu mwingine matendo yanayomsababishia maumivu kimwili au kihisia.
Lucas N.
replied
5 months, 1 week ago
Ni vitendo na mitazamo yote ya udhalilishaji na uporaji wa haki na utu wa mtu
Batimayo A.
replied
5 months, 1 week ago
Ni ukatili wa aina yote na kuondoa haki ya mtu