Mifuatano - 8 Rasilimali
Mpango wa Anzisha Biashara Yako(SYB) ni programu ya mafunzo yenye lengo kuu na mwelekeo wa kuanzisha na kuboresha biashara ndogo ndogo kama mkakati w…
Mifuatano - 8 Rasilimali
Huu ni Mfuatano wa masomo ya kufundishia watoto kwa maendeleo ya watoto miaka 3-5
Mifuatano - 8 Rasilimali
Mifuatano - 8 Rasilimali
Hii ni mitaala ya kufundishia watoto wenye umri wa miaka 9-11 katika maeneo ya Kiroho, Kimwili, Kijamii na Kiakili.
Mifuatano - 2 Rasilimali
Hii ni mitaala ya kufundishia vijana wa umri wa miaka 12-14.
Mifuatano - 2 Rasilimali
Hii ni mitaala ya kufundishia vijana wa miaka 15-18. Ndani ya mitaala hii kuna moduli mbalimbali zinazomwesha kijana kukua katika maeneo mbalimbali k…
Mifuatano - 2 Rasilimali
Hii ni mitaala ya kufundishia vijana wa miaka 19+ Ndani ya mitaala hii kuna moduli mbalimbali zinazomwesha kijana kukua katika maeneo mbalimbali kwa …
Mifuatano - 1 Rasilimali
Hii ni mitaala ya kufundishia vijana wa miaka 12-19+ masuala ya Kiroho. Ndani ya mitaala hii kuna masomo mbalimbali yanayohusu ukuaji wa Ki…
Mifuatano - 5 Rasilimali
Mifuatano - 6 Rasilimali
Hii ni Afua inayotumia mbinu ya Vikundi vya Mafunzo ya Biblia.
Mifuatano - 6 Rasilimali
Afua hii inakusudiwa kuongeza ufahamu, kukuza uelewaji, na kukuza huruma na ujuzi wa vitendo kwa kukabiliana na kujiua ili kuzuiliwe. Washirika wa Ka…
Mifuatano - 5 Rasilimali
Mafunzo haya ni utangulizi wa jinsi kiwewe kinavyoathiri watoto na vijana na kile ambacho sisi kama jamii tunaweza kusaidia. Mafunzo yanajumuisha maw…
Mifuatano - 5 Rasilimali
Afua ya Stadi za Maisha na Uongozi inalenga katika kuwaandaa vijana washiriki. Afua hii inatumia Mwongozo wa Stadi za Maisha na Uongozi, ambao unalen…
Mifuatano - 7 Rasilimali
Ushauri Malezi kwa Vijana (Youth Mentorship) ni mbinu iliyothibitishwa kwa muda mrefu inayoweza kuwasaidia vijana, bila kujali mazingira yao, kufikia…
Mifuatano - 5 Rasilimali
Haya ni Mafunzo ya Vikundi vya Kuweka Akiba kwa Watoto (Little Sowers)
Mifuatano - 5 Rasilimali
Programu ya Vijana ya Alpha husaidia kuunda nafasi salama ambapo vijana wanaweza kushiriki katika mazungumzo ya kweli kuhusu maisha na imani, kuwawez…
Mifuatano - 4 Rasilimali
Mfuatano huu unahusisha miongozo mbalimbali ambayo inatumika katika mafunzo ya viongozi wa kanisa mshirikamwenza. Watumiaji wakuu ni Mchungaji, wazee…
Mifuatano - 13 Rasilimali
Huu ni mfuatano wa miongozo ya watendakazi wa huduma ya mtoto na kijana katika kanisa mshirikamwenza. Miongozo hii inahusisha maelezo ya kina juu ya …
Mifuatano - 3 Rasilimali
Huu ni mfuatano wa miongozo ya kufundishia wazazi/walezi wa watoto na vijana katika huduma ya mtoto na kijana kanisani.
Mifuatano - 5 Rasilimali
Huu ni mfuatano wa mitaala ya shughuli za uzalishaji kipato kwa umri wa miaka 12-19+ ambazo zinaweza kuchaguliwa kufundisha kulingana na mazingira. L…
Mifuatano - 4 Rasilimali
Huu ni mfuatano wa masomo ya uongozi kwa vijana. Lengo ni kuwajenda vijana katika ujuzi wa kuongoza ili waweze kuwa na ujasiri wa kushika nafasi za u…
Mifuatano - 6 Rasilimali
Afua hii inahusiasha Mtaala wa Unawaji Mikono dhidi ya vimelea Vinavyosababisha Maradhi kwa washiriki wa program kituoni (Germ’s Journey).…
Mifuatano - 11 Rasilimali
Lengo kuu ni kuwapa vijana zana wanazohitaji ili kuwa na ujasiri karika mahesabu.
Mifuatano - 7 Rasilimali
Hii ni nyenzo ambayo itatumiwa na Ofisi ya Nchi na Kanisa Mshirika Mwenza katika kupanga, kubuni, na kutekeleza afua ya kugawa chakula wakati wa maaf…