namna ya kulinda mtoto na kijna
Moses J.
posted
1 year, 4 months ago
tuhakikishe sote tunajukum la kumlinda mtoto na kijana
Frida L.
replied
18 hours ago
wote tujikite zaidi katika kuwaelimisha watoto na vijana dhidi ya vitendo vibaya katika jamii,kuwaombea na kuhakikisha wako salama kimwili na kiakili
Sibomana J.
replied
11 months, 3 weeks ago
Jamii kuipatia elimu ya kutosha dhidi ya vitendo vya unyanyasaji kwa kuwahusisha vijana wenyewe pia.
KUMBUKA A.
replied
1 year, 1 month ago
tutoe alimu ya kutosha juu ya ulinzi wa mtoto katika jamii
Moses J.
replied
1 year, 4 months ago
hapana nahaki ya kulinda mtoto na kijana
Moses J.
replied
1 year, 4 months ago
tuhakiikishe sote tunajukumu la kumlinda mtoto na kijana