namna ya kulinda mtoto na kijna

tuhakikishe sote tunajukum la kumlinda mtoto na kijana
wote tujikite zaidi katika kuwaelimisha watoto na vijana dhidi ya vitendo vibaya katika jamii,kuwaombea na kuhakikisha wako salama kimwili na kiakili
Jamii kuipatia elimu ya kutosha dhidi ya vitendo vya unyanyasaji kwa kuwahusisha vijana wenyewe pia.
tutoe alimu ya kutosha juu ya ulinzi wa mtoto katika jamii
hapana nahaki ya kulinda mtoto na kijana
tuhakiikishe sote tunajukumu la kumlinda mtoto na kijana