Lazima uwe mmoja wa jamii ya ForChildren.com ili upakue nyenzo/raslimali zilizomo. Bofya vitufe vilivyo hapa chini ili uingie au ujisajili!
Kategoria | Miongozo ya mafunzo kwa Kanisa |
Mwandishi | Dr Frank Mganga Frank |
Kitabu cha Qavah kinalenga kuhamasisha kanisa katika kutumia raslimali zake kuhudumia jamii zinazolizunguka. Mafunzo ya Qavah hufanyika kabla kanisa halijaanza ushirikawenza na Compassion na kama kanisa likihitaji haya likiwa katika ushirikawenza basi litatuma ombi maalum kwa mwezeshaji wa Compassion.
Mtandao wa ForChildren.com unatolewa na shirika la Compassion International, shirika lisilo la faida lililosajiliwa 501(c)3. Nyenzo, kozi, na majadiliano yote yanakusudiwa kwa matumizi ya elimu peke yake, na sio kwa faida.