ULINZI NA USALAMA WA MTOTO KULINGANA NA MAENDELEO YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA
Alexander T.
posted
2 weeks, 4 days ago
Je ikiwa dunia inabadilika na kuchukua taswira mpya kila wakati je nini tufanye kwa watoto na vijana wetu juu ya namna ya kupinga unyanyasaji kwanjia ya mtandao? Watoto wanatumia teknolojia bila kujua inaweza kuwaathiri kwa namna moja au nyingine?