Unyanyasaji
Batimayo A.
limechapishwa
1 year, 5 months ago
Ni namna ya kuondoa haki kwa mhusika na kumkandamiza
KUMBUKA A.
limejibiwa
11 months, 3 weeks ago
Unyanyasaji ni hali kumfanya mtu/mtoto ajihisi kutengwa, kuonewa na kuumizwa kihisia
Martin Q.
limejibiwa
1 year, 1 month ago
ni hali ya kumnyima mhusika haki anayostahili kimwili,kiakili,kihisia na hata kiroho