Unyanyasaji
Batimayo A.
posted
1 year, 5 months ago
Ni namna ya kuondoa haki kwa mhusika na kumkandamiza
KUMBUKA A.
replied
11 months, 3 weeks ago
Unyanyasaji ni hali kumfanya mtu/mtoto ajihisi kutengwa, kuonewa na kuumizwa kihisia
Martin Q.
replied
1 year, 1 month ago
ni hali ya kumnyima mhusika haki anayostahili kimwili,kiakili,kihisia na hata kiroho